Home » » TANGAZO LA KIFO BUNGENI DODOMA

TANGAZO LA KIFO BUNGENI DODOMA

tangazo
Marehemu Anselm L. Mrema enzi za uhai wake.
Katibu wa Bunge, anasikitika kuwataarifu wananchi kuhusu kifo cha mtumishi wa Ofisi ya Bunge katika idara ya shughuli za Bunge, Mkurugenzi Msaidizi Ndg. Anselm L. Mrema kilichotokea jana usiku tarehe 10.11.2013 katika Hospitali ya Mkoa, Dodoma.
Ofisi inaendelea na taratibu za mazishi kwa kushirikiana na familia ya marehemu, tutaendelea kuwapa taarifa zaidi kutokana na msiba huo. Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe. Amen!
 Chanzo: Michuzi…

Tupe Maoni yako!

KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DODOSO - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger