PREZZO AANZA KAZI RASIMI KAMA BALOZIWA ONE CAMPAIGN



Kama tunavyojua baada ya kuisha kwa shindano la Big Brother Africa Stargame la mwaka huu ,Rapper toka nchini Kenya, Jackson Makini alias CMB Prezzo alichaguliwa  kuwa Balozi wa  ONE campaign ambayo hujiusisha na maswala ya kutokomeza njaa nchini Africa.

Latest Infonz ni kuwa Rapper huyu tayari ameshaaanza kuitumia kazi yake as ambassadors wa ONE campaign na ushauidi ni video hii hapa chini akifreestlye kwa ajili ya One Campaing baada ya kumaliza mkutano na wadau wa kampuni hiyo na Waandishi wa Habari.

"BONGO FLEVA IMEFULIA"....MAD ICE



Msanii wa kimataifa kutoka Tanzania aishiye nchini Finland, Mad Ice amesema ladha ya Bongo Flava imebadilika kwa kiasi kikubwa kutokana na wasanii kutaka kucopy style za wasanii wa nchi zingine husasan Nigeria na Afrika Kusini.


“Jana nilikuwa na mtu mmoja anaitwa Man Razor tulikuwa kwenye interview radio, Dj Tass alipiga kwanja za nyuma ile miaka yetu tunaanza 2002/03 akapiga track zile zote, nikasema kweli muziki umebadilika sana, ladha imepotea, ile ladha ya Bongo Flava ya mwanzo ile, na nikajiuliza ni kwanini. 

Jamaa akaniambia ‘sikiliza vizuri kazi zinazofuata’, kuna flava ya kinaijeria, sijui South Africa sijui wapi, akaniambia ‘unajua tatizo ni kwamba vijana wakisikia wamehit P-Square naye anakambilia anakwenda kwa producer nitengenezee track kama ile,” Mad Ice

Amesema tatizo hilo linachangiwa pia na mashabiki ambao huzipenda nyimbo za wasanii wa Nigeria na hivyo kuwafanya wasanii wengi hasa wanaotegemea muziki kuiga style hizo ili kupata shows zaidi.

“Ni wachache walio na msimamo kwamba mimi natengeteza kazi mimi kama mimi, I don’t care mtu mwingine anafanya kitu gani.”

Mad Ice yupo nchini kwa siku kadhaa sasa na Jumamosi anatarajiwa kuwa na show visiwani Zanzibar.

PICHA: UCHAFU WA AGNESS MASOGANGE AKICHANGIA PENZI NA MWANAMKE MWENZIE KWA MWANAU MMOJA








Hatimaye mtandao huu umefanikiwa kuinasa vizuri video nzima ya uchafu wa  agness  masogange.......



Video hiyo chafu  kabisa ambayo awali zilisambaa  clip zake,  inamuonesha mwanaume  mmoja  akimiliki  wanawake wawili.........



Wakati  Agness  akifanya majonjo ya kukata mauno  kwa  mwanaume huyo, yule  mwingine alikuwa  akipakia  msosi  ili  kujiweka  sawa kwa  tukio  hilo........(ANGALIA PICHA  YACHINI)


 Ndani ya Video  hiyo pia,Masogange anaonekana  akizungusha  makalio yake  karibu  kabisa na domo la mwanamke huyo hali inayoashiria vitendo vichafu vya usagaji........(PICHA  ZA CHINI ZINAJIELEZA)







Agness  akiendelea kumpagawisha  yule  mwanaume.....


Kama  kawaida  yake,  dakika mbili mkono matakoni.....














 Hatimaye walianza  kuvunja amri ya sita.........


 Mmoja baada ya mwingine  walihudumiwa..........


Ni  aibu  kubwa  kufanya  mapenzi  ya  two  in one......



FORMAT:  AVI,

FUKWE ZAFUNGWA AFRIKA KUSINI KUFUATIA KUVAMIWA NA PAPA WEUPE WALIOKUWA WAKINYATIA MZOGA WA NYANGUMI.


 Wafanyakazi wa mamlaka ya Usalama wa baharini nchini Afrika Kusini wakiwa katika harakati za kusogeza mzoga wa Nyangumi nchi kavu kwa ajili ya kwenda kuzika.
Sehemu kubwa ya pwani ya Afrika Kusini imefungwa kufuatia mzoga wa nyangumi mwenye ukubwa wa mita 30 kusukumwa na maji pembezoni mwa fukwe na kuanza kushambuliwa na jamii ya papa weupe.
Mzoga wa nyangumi huyo umelazimika kuondolewa haraka ufukweni ulikokuwa ukielea, kwa kuwa ulikuwa ukifukuziwa na papa weupe kadhaa walio ugeuza kitoweo na kuhatarisha maisha ya watu.
Mamlaka husika zimechukua hatua ya kuuondoa mzoga huo lakini pia imefunga mtandao wa fukwe hizo kuanzia Muizenberg hadi Monwabisi kwa tahadhari.
Mzoga wa Nyangumi ukipimwa urefu.
 Mashine Maalum ya kubebea vitu vizito kama Makontena ikifanya kazi ya kusomba mzoga huo.
Jitihada za kumbeba Nyangumi huyo kwa kutumia mashine maalum za kubebea makontena zikiendelea.
Nyangumi akiwa tayari amepakiwa kwenye Lori.
Safari imeanza ya kumsafirisha Nyangumi huyo sehemu kunakohusika.

TOP FLAVA WAJA NA REMIX YA BEAUTIFUL ONYINYE


Kundi la muziki la kizazi kipya lijulikanalo kama Top Flava lenye makazi yake Kigamboni jijini Dar es Salaam, limeachia video ya wimbo wake ambao ni remix ya hit ya P-Square waliomshirikisha Rick Rozay, ‘Beautiful Onyinye’.

Msemaji mkuu wa kundi hilo Tony Torch ameiambia Dodoso kuwa huo ni mwanzo tu na wanawaomba mashabiki wawwpokee kazi zao pamoja na hii ya wimbo walioupa jina la Rudi Home.

‘Pia kuna nyimbo tumeifanya na Chege ‘Uchumi Unayumba’ ikiwa tayari mtaipata hapa hapa ,”alisema.

K-LYINN AJALIWA MAPACHA WA KIUME

Aliyewahi kuwa Miss Tanzania, Jackline Ntuyabaliwe aka K-Lynn amejifungua watoto mapacha.

Kwa mujibu wa vyanzo, K-Lyinn amejifungua mapacha wa kiume wenye afya njema.

Dodoso   inampongeza Jackline kwa kujifungua salama

JOKATE MWEGELO ATOKA NA "KIDOTI LOVING"

Mrembo, mtangazaji na mjasiriamali wa nchi Tanzania Jokate Mwegelo leo ameizundua rasmi kampuni yake ya Kidoti Loving katika hafla iliyofanyika Serena Hotel jijini Dar es Salaam.

Bidhaa za kwanza za Kidoti zilizoingia sokoni ni Nywele (weaving) ambazo amesema tayari zinapatikana katika soko la Kariakoo na maeneo mengine jijini Dar es Salaam ambapo baada ya muda mfupi zitaanza kupatikana mikoani.

Amesema kwa kuanzia kampuni yake imeanza kwa kutengeneza nywele za aina nane ambazo zinapatikama kwa bei ya kawaida ili kuwawezesha watanzania wengi kupendeza kwa gharama nafuu.

“Hizi nywele mabibi na mabwana zimefanyiwa utafiti kwa takriban mwaka mzima,” alisema Jokate.

“Ni nywele safi zenye ubora wa hali ya juu, hazifungamani, zipo katika mawimbi, rangi na style za kisasa, ni nyepesi, rahisi kusukia, laini, zinadumu kwa muda mrefu na muhimu kuliko yote zipatikana kwa bei nafuu sana.”

“Ni bidhaa ambazo naweza kusema confidently zinamfaa mwanamke wa kisasa.”

Jokate amesema utengenezaji wa nywele hizo ameusimamia mwenyewe na kwa msaada wa timu yake ya Kidoti.


Hizi ni baadhi ya picha za tukio hilo.
DSC_7943 (800x537) DSC_7944 (800x537) DSC_7945 (800x537) DSC_7946 (800x537)

 DSC_7942 (800x537)

" NANI MALAYA KATI YANGU NA SINTAH?"...RAYUU




BAADA ya picha za msanii za Rayuu kusambaa mitandaoni na kushika kasi kwenye macho ya watu na hadi kufikia hatua ya msanii Christine John ‘Sintah’, kudai kuwa msanii huyu anatafuta umaarufu kunuka, naye Rayuu ameamua kumjibu kwa kuhoji kuwa kati na yeye na Sintah nani malaya, na haoni sababu ya kumtukukana kwa sababu ya picha zake zinaonesha mgongo na si kitu kingine.

Kauli chafu aliyoitumia
Sintah kwa Rayuu ni hii aliyosema kuwa msanii huyo anatafuta ‘umaarufu kunuka’, huku kauli nyingine alizotumia kuponda picha za msanii huyo zikiwa katika utata kiasi kwamba kuna ishu kubwa ambayo inataka kutokea kati ya wasanii hawa wawili.

Hata hivyo Mwandishi 
alizungumza na Rayuu, ili aeleze ni kitu gani kinachosababaisha hadi Sintah kutoa kauli kama hizo dhidi yake, ambapo alidai kuwa suali la picha hizo imekuwa gumzo kwani haitaji bifu na Sintah, kwa sababu hakuna siku hata moja ambayo amewahi kuzungumza nae katika maisha yake.

Rayuu
alisema kuwa hajawahi kufanya kitu chochote kibaya kwa Sintah, lakini anashangaa kuona yeye ndiyo amekuja kasi kumtukutana kupitia blog yake.

Hata hivyo
Rayuu alitumia ukurasa wake wa facebook ili kumtaka Sintah asiwe na kimbembele kwa kufuatilia vitu ambavyo havijui.



Aliongeza 
Sintah dn talk on tings ambazo hujui zilipo anzia u were supposed to ask coz u dn evn knw wea da pic came from besides kwan mgongo ni uchi or tatoo ni uchi i may nat speak may b bcz i dn c da reason ya mm kupoteza pumzi yangu on smthng ambacho kimesababishwa na mtu mmoja and kwann usinge nifata personal if u really want to correct me!pics za uchi mnaziacha hiyo tatoo imekuwa gumzo! Having tattoos on ma body s nat a crime anyway!na pia mgongo c uchi!”, ni maneno aliyoyandika Rayuu kupitia kwenye ukurasa wake wa Facebook.


-----------------------------------------------------
MTAZAMO WETU:


RAYUU  ACHA  UTOTO.  HAYO  MATITI  YAKO  UNAMUONESHA  NANI?  UNA CHUKIA  NINI  WAKATI  WEWE NDO  ULISAMBAZA  HIZI PICHA?

BABY MADAHA AMPOTEZA MAMA YAKE MZAZI


Msanii wa filamu na muziki wa kizazi kipya bongo Baby Madaha, yupo katika huzuni kubwa baada ya kumpoteza mama yake mazazi jana usiku baada ya kuumwa kwa muda mrefu. 

Mwili wa marehemu unasafirishwa leo kupelekwa Musoma nyumbani kwao ambapo mipango yote na taratibu za kuzika zitajulikana huko.

Mwandishi wa mtandao huu
alizungumza na Madaha ingawa hakuweza kuzungumza sana zaidi ya kutokwa machozi huku akisema kuwa amempoteza mama yake kipenzi ambaye alikuwa akimsapoti kwenye vitu vingi ndani ya maisha yake.

“Naumia sana lakini najua yote ni mipango ya Mungu kwani kila kitu kimepangwa, hivyo tunamuombea mama yetu aweze kwenda salama mbele za haki kwani sote hiyo ndiyo njia yetu,”
alisema kwa maskitiko makubwa sana.

WAREMBO WA REDD'S MISS TANZANIA 2012 WAKUTANA NA MH. LOWASSA MONDULI


Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa akisalimia na Msimamizi (Matron) wa warembo wa Redd's Miss Tanzania 2012, Irene Karugaba wakati Warembo hao walipotembelea Nyumbani kwa Waziri Mkuu Mstaafu, Monduli ili Kupata Baraka zake. Mh. Lowassa aliwapokea warembo hao kwa furaha na kuzungumza nao machache juu ya mafanikio ya Mashindano hayo na Maendeleo ya Taifa letu la Tanzania.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa akizungumza na Warembo wanaowania Taji la Redd's Miss Tanzania 2012 waliofika nyumbani kwake Monduli leo na kupata wasaa kwa kuzungumza nae mambo mawili matatu juu ya mafanikio ya Mashindano hayo na Maendeleo ya Taifa letu kwa ujumla.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa na Mkewe Mama Regina Lowassa wakiwa kenye picha ya pamoja na Warembo wanaowania Taji la Redd's Miss Tanzania 2012 pamoja na Viongozi wa Kamati ya Miss Tanzania.

(Picha Zote kwa Hisani ya Intellectuals Communications Limited)

MAUNO YA SHILOLE YAWADATISHA ASKARI

WAKATI SHILOLE ANAPERFORM FIESTA 2012, ALIWADATISHA MPAKA ASKARI NA MABAUNSA......






 Nilichokigundua ni kwamba askari pamoja na kikosi cha mabaunsa waliokua mbele kabisa kuhakikisha usalama unakuepo, wote waligeuka kuangalia stage baada ya Shilole na dancers wake kudatisha kwa jinsi walivyokua wanacheza, yani jamaa walijiachia kabisa.

 

JANETH AMSHITAKI LINEX KWA KUMTANDIKA KOFI


Hiki kinaweza kuwa kituko cha mwaka kwenye muziki wa Bongo Flava. Mrembo aliyeigiza kwenye video ya Linex Aifola, ameamua kumfungulia RB msanii huyo baada ya kumpiga kibao cha kweli kwenye video hiyo.

Katika video hiyo Linex anaonekana akiwa amekaa kwenye kochi na kuanza kukagua simu ya mchumba wake Aifola ambaye humo ameigiza Janeth Bundala na ndipo alipogundua kuna meseji za kimapenzi anazotumiwa na mwanaume mwingine kiasi cha kuchukia na kumpiga kofi kali la shavuni.


“hahhahahahhahaha frm no where eti janeti aka aifola kanipigia leo kaniambia kanichukulia R B kwa kofi nililompiga wakati tunaigiza hahah kama kachelewa hv,” aliandika Linex jana kupitia Facebook.

“Sijajua alikua anatania but ndo kitu alichoniambia muda si mrefu nimekia nacheka tu. Nimemsikia live radion anataka kulipwa aseeee kumbe anamaanisha. Nimeshaongea nae na kesho ndo nakutana nae rasmi ntajua anatakaje na ntamalizana nae.”

Unahisi Janeth yuko sahihi kumshtaki Linex kwa kumpiga kibao cha kweli kwenye uigizaji wa video? Na je amechelewa kama Linex anavyosema?

SHIRIKISHO LA FILAMU LAAPA KUWASAKA WANAUME WAPENDA NGONO


KIMENUKA,  kwa wasanii wapenda ngono kwani Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF), chini ya Rais wake Simon Mwakifwamba limesema kuwa litawasaka wasanii wa kiume wapenda ngono.

 Hali hiyo imekuja kufuatia skendo ya baadhi ya waandaaji wa kiume kudaiwa kuwanyanyasa wasanii wa kike kwa kuwataka kimapenzi ili  kuwapa nafasi ya kuigiza.

Akizungumza na mwandishi wetu , Mwakifwamba alisema anaandaa siku maalum kwa ajili ya kuzungumza na waandaaji hao baada ya kupata malalamiko kutoka kwa baadhi ya wasanii wa kike hivi karibuni Leaders Club, Kinondoni jijini Dar.

“Kama Rais wa Taff nimepokea malalamiko yao na ninayafanyia kazi,  nitazungumza nao maana hata mimi mwenyewe imeniuma na ninaona wasanii wa kike wanahitaji msaada zaidi,” alisema Mwakifwamba.

Baadhi ya wadau walisema kama Taff itachukua hatua hiyo, Bongo Movie hali itakuwa ni tete kwa wasanii hasa wa kiume.

SAKATA LA KUTAFUTA UMAARUFU KUPITIA PICHA ZA UCHI.....WASANII MNABOA


Hii  inatosha  kabisa  kuthibitisha  kuwa  wabongo hujipiga  picha  kwa  makusudi  na kuzisambaza.....

Huyu  demu ni Mary John,.....Siyo  siri  hili  jina  kwangu  ni  geni.Maana yeke  ni kwamba  demu  ni  underground  na  anatafuta kutoka na kujulikana kupitia skendo.......


Hivi  ni  nani  atakayehangaika  kukuvizia chumbani  ili  akupige  picha?  hizi picha hujipiga  wenyewe.Wasanii  mnatia aibu.
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DODOSO - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger