Home » , » PREZZO AANZA KAZI RASIMI KAMA BALOZIWA ONE CAMPAIGN

PREZZO AANZA KAZI RASIMI KAMA BALOZIWA ONE CAMPAIGN

tangazo


Kama tunavyojua baada ya kuisha kwa shindano la Big Brother Africa Stargame la mwaka huu ,Rapper toka nchini Kenya, Jackson Makini alias CMB Prezzo alichaguliwa  kuwa Balozi wa  ONE campaign ambayo hujiusisha na maswala ya kutokomeza njaa nchini Africa.

Latest Infonz ni kuwa Rapper huyu tayari ameshaaanza kuitumia kazi yake as ambassadors wa ONE campaign na ushauidi ni video hii hapa chini akifreestlye kwa ajili ya One Campaing baada ya kumaliza mkutano na wadau wa kampuni hiyo na Waandishi wa Habari.

Tupe Maoni yako!

KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DODOSO - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger