Home » , , » RECHO AWAPONDA WASANII WA BONGO FLEVA NA KUDAI KUWA NI WEZI

RECHO AWAPONDA WASANII WA BONGO FLEVA NA KUDAI KUWA NI WEZI

tangazo

STAA wa filamu Bongo, Recho Haule ‘Recho’ amebwatuka na kuwaita wezi wasanii wa Bongo Fleva akidai wanawaibia mashabiki kwa kucheza CD katika shoo zao.


Akizungumza na Mdodosaji wetu juzikati jijini Dar, Recho anayeng’ara kupitia Bongo Movies, amesema kuwapigia CD mashabiki ni sawa na mwizi anayeiba bidhaa za watu.


“Yaani hawa wasanii nathubutu kuwaita wezi kwa sababu kupitia muziki wanaoufanya wanajiingizia pesa bila kuwa hata na kipaji cha uimbaji na upigaji ala zaidi ya kufuatisha CD jukwaani,”
alisema Recho.

Tupe Maoni yako!

KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DODOSO - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger