Home » , , , » VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE: JE JAMII INAJIFUNZA NINI?

VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE: JE JAMII INAJIFUNZA NINI?

tangazo

Kutokana  na  kutokuwa  na mhimili  wa kusimamia  maadili  hapa  nchini,wasanii wetu  wameendelea kuwa  VIOO WA NGONO hapa nchini  huku wengi  wao  wakiwa  ni  wadau wa bongo movie......

Uchunguzi  uliofanywa na mtandao huu umebaini kuwa wengi wao hufanya uchafu  huo kwa kukusudia ili  wakuze majina  yao.......

Mbali na kusudi  hilo, wapo ambao huwahonga  waandishi  wa  habari  za magazeti  ili  wawapige picha  wakiwa  UCHI, ama  wawaoneshe  MAKALIO yao, au MATITI  yao.......

Tuchukulie mfano wa hii video ya utupu ya Agness Masogange,.....Ukiiangalia  utagundua kuwa  uchafu huo ulifanyika  chumbani,tena wakiwa wawili  tu......

Cha ajabu, siku  moja tu  baada ya kujirekodi  wakifanya mapenzi, video  hiyo  waliisambaza  katika  mitandao mbalimbali.........

Je, lengo lilikuwa  nini?....Serikali  haioni?.....Jamii  inasemaje?



video

Tupe Maoni yako!

KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DODOSO - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger