Home » » KUTOTAHIRIWA KUMEMFANYA TAYLOR SWIFT AMPIGE CHINI MPENZI WAKE

KUTOTAHIRIWA KUMEMFANYA TAYLOR SWIFT AMPIGE CHINI MPENZI WAKE

tangazo
Kuna tetesi kuwa muimbaji wa country nchini Marekani, Taylor Swift ameamua kuachana na mpenzi wake member wa kundi la One Direction, Harry Styles.

Kwa mujibu wa mtandao wa The National Enquirer sababu za kuachana kwao ni kutokana na Styles kuchoshwa na malalamiko ya kila kukicha kutoka kwa Taylor kutokana na kuwa hajatahiriwa.



“Taylor didn’t like the fact that English-born Harry was not circumcised – she even suggested he undergo surgery,” chanzo kimoja kilicho karibu na Harry kiliuambia mtandao huo.

Kiliongeza kuwa Harry aliweka wazi kuwa hana mpango wa kutahiriwa.

Tupe Maoni yako!

KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DODOSO - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger