Home » , » TOP FLAVA WAJA NA REMIX YA BEAUTIFUL ONYINYE

TOP FLAVA WAJA NA REMIX YA BEAUTIFUL ONYINYE

tangazo

Kundi la muziki la kizazi kipya lijulikanalo kama Top Flava lenye makazi yake Kigamboni jijini Dar es Salaam, limeachia video ya wimbo wake ambao ni remix ya hit ya P-Square waliomshirikisha Rick Rozay, ‘Beautiful Onyinye’.

Msemaji mkuu wa kundi hilo Tony Torch ameiambia Dodoso kuwa huo ni mwanzo tu na wanawaomba mashabiki wawwpokee kazi zao pamoja na hii ya wimbo walioupa jina la Rudi Home.

‘Pia kuna nyimbo tumeifanya na Chege ‘Uchumi Unayumba’ ikiwa tayari mtaipata hapa hapa ,”alisema.

Tupe Maoni yako!

KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DODOSO - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger