Home » , , , » MAUNO YA SHILOLE YAWADATISHA ASKARI

MAUNO YA SHILOLE YAWADATISHA ASKARI

tangazo

WAKATI SHILOLE ANAPERFORM FIESTA 2012, ALIWADATISHA MPAKA ASKARI NA MABAUNSA......






 Nilichokigundua ni kwamba askari pamoja na kikosi cha mabaunsa waliokua mbele kabisa kuhakikisha usalama unakuepo, wote waligeuka kuangalia stage baada ya Shilole na dancers wake kudatisha kwa jinsi walivyokua wanacheza, yani jamaa walijiachia kabisa.

 

Tupe Maoni yako!

KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DODOSO - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger