Home » » MAMBO YA LADY GAGA JUKWAANI LAIV BILA NGUO.....AKITUMBUIZA

MAMBO YA LADY GAGA JUKWAANI LAIV BILA NGUO.....AKITUMBUIZA

tangazo


         
       
Huyu  ni  msanii Lady Gaga  aliyeamua  kutoa  burudani   akiwa  uchi  wa  mnyama  katika show ya G-A-Y huko London, Uingereza Ijumaa iliyopita.

Gaga (27) alipanda jukwaani akiwa amevalia vazi linalomfunika hadi miguu lakini wakati akiendelea kuperform ghafla alianza kusaula taratibu kutokea juu hatimaye kulishusha vazi lote na kubaki uchi..

Tupe Maoni yako!

KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DODOSO - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger