MGANGA WA DIAMOND AFUNGUKA NA KUDA KUWA ANGUKO LAKE LIMEKARIBIA MAANA HAMJALI SIKU HIZI

 Ustadhi Yahya Michael, mkazi wa Dar, hivi karibuni amejitokeza na kudai kuwa yeye ndiye mganga aliyempaisha mwanamuziki Nasibu Abdu ‘Diamond Platnumz’ ambaye kwa sasa ni kinara wa Bongo Fleva..... Akizungumza na Risasi  katika mahojiano maalum maeneo ya Magomeni, Dar, mganga huyo alidai kuwa pamoja na jitihada kubwa alizofanya kumpaisha Diamond lakini anamshangaa kwa kuwa amesahau alikotoka na anajifanya supastaa. Alidai kuwa siku hizi akimpigia simu, Diamond huwa hapokei, tofauti na zamani alipokuwa akihangaika kuchomoka kisanii. Mganga huyo alifunguka kuwa sababu ya kufanya hivyo ni baada ya kuchukuliwa na watu waliompeleka...

"NINA MPANGO WA KUWAFUFUA WASANII WALIOPOTEA KATIKA GEMU"..DULLY SYKES

Dully Sykes ni miongoni mwa wasanii wakongwe wa Bongo Flava waliobahatika kuendelea kubaki juu kiasi cha kufanikiwa kuwa mmiliki wa studio mbili za kurekodi muziki. Msanii na producer huyo wa Bongo Flava, hivi karibuni ameanza kuwasaidia wasanii wenzake walioanza muziki pamoja ambao kwa sasa wamepotea. Dully aka Mtoto wa Kariakoo amemchukua Inspekta Haroun ambaye atakuwa chini ya menejimenti yake na studio anayoimiliki ya 4.12. Tayari wasanii hao wameshatoa ngoma ambapo Inspekta amemshirikisha Dully kwenye wimbo uitwao Ashura. Wasanii wengine ambao hitmaker huyo wa Utamu Utamu amepanga kuwatoa tena ni pamoja na Mack D na kundi...

JUX NA DIAMOND WATAMBISHIANA VIFUA.....

  DIAMOND PLUTNUM JUX ...

"SIKUWA NA MPANGO WA KUIPELEKA GESI BAGAMOYO KAMA WACHONGANISHI WANAVYODAI".....RAIS KIKWETE

RAIS Jakaya Kikwete amesema kuwa gesi itakayochimbwa mkoani Mtwara haitapelekwa Bagamoyo kama ambavyo baadhi ya watu walivyokuwa wakidai.Kikwete alisema hayo katika hotuba yake ya mwisho wa mwezi Januari kwa taifa ambapo pamoja na mambo mengine alizungumzia ujenzi wa bomba la gesi kutoka Mtwara kwenda Dar es Salaam, uliozua mgogoro.Alisema kuwa kuna watu waliosema kwamba gesi inapelekwa Bagamoyo ili kuzidisha chumvi na kupandikiza chuki kwa wananchi dhidi ya Serikali. “Ujenzi wa bomba la gesi ndiyo uliozua mzozo wote huu. Zilijengwa hisia kuwa gesi yote inapelekwa Dar es Salaam na kwamba Mtwara itakosa gesi na maendeleo yatakayotokana...

KURASA ZA MBELE ZA MAGAZETI YA LEO

...

Meet the WOMAN who only sleeps with MARRIED MEN

Most women looking for love want a boyfriend who is at least a free agent. But Clare Jenkins chooses only MARRIED men. Ever since her relationship broke down four years ago, sports manager Clare decided to exclusively date other people’s husbands. And the 32-year-old single mum reckons it ENHANCES their marriages. Clare said: “People reading this will brand me a brazen whore who has no care or thought for the wives of the men I so enjoy dating and — when I like them enough — sleeping with. “But I do not want to be perceived as a marriage wrecker. “Instead, I feel I make married men so much more satisfied in their lives that I actually...

MBINU 10 ZA KUANZISJHA MAHUSIANO MAPYA NA IMARA...

When we’ve been burned in a relationship, we go into new relationships a little more wary.Here are some tips to help you when you’re ready to try again. 10 TIPS FOR STARTING A NEW RELATIONSHIP 1. Settle the past. Work with a therapist to understand how and why you picked your failed marriage.  2. Realize you can make a choice. OK. Something bad happened. You are not a victim. You can and will move on. 3. Learn who’s safe and not safe and how to be safe. Once fooled, twice smart. Learn the early warning signs that someone lacks integrity and construct proper boundaries to keep people...

KAULI YA WAZIRI MKUU KUHUSIANA NA WATU WALIOCHOCHEA FUJO ZA MTWARA

Waziri mkuu wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mizengo Pinda asema zaidi ya makampuni 51 yameonyesha nia ya kuwekeza mkoani Mtwara kutokana na gesi iliyogunduliwa hivyo ametoa wito wa wananchi wa Mtwara kudumisha amani ili kuvutia wawekezaji zaidi. Amesema kutokana na hofu ya baadhi ya wawekezaji lipo tishio la baadhi ya wawekezaji kutaka kujitoa na makampuni mengine kusitisha mipango yao ya kuwekeza Mtwara kutokana na vurugu zilizotokea hivi karibuni. Namkariri Waziri mkuu akisema “gesi inayozalishwa Mtwara ni gesi ambayo ni sehemu ya rasilimali ya Umma, ni gesi ambayo inapaswa kuwanufaisha watanzania wote ambapo viwanda vingi...

VIDEO YA HOTUBA YA RAIS KIKWETE YA MWISHO WA MWEZI

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA JAKAYA MRISHO   KIKWETE, KWA WANANCHI, TAREHE 31 JANUARY, 201...

VIDEO YA WABUNGE WA UPINZANI WALIPOSUSA NA KUTOKA NJE YA BUNGE

Video ya wabunge wa upinzani waliposusa na kutoka nje baada ya hoja ya Jmes Mbatia kupuz...

KUTOTAHIRIWA KUMEMFANYA TAYLOR SWIFT AMPIGE CHINI MPENZI WAKE

Kuna tetesi kuwa muimbaji wa country nchini Marekani, Taylor Swift ameamua kuachana na mpenzi wake member wa kundi la One Direction, Harry Styles. Kwa mujibu wa mtandao wa The National Enquirer sababu za kuachana kwao ni kutokana na Styles kuchoshwa na malalamiko ya kila kukicha kutoka kwa Taylor kutokana na kuwa hajatahiriwa. “Taylor didn’t like the fact that English-born Harry was not circumcised – she even suggested he undergo surgery,” chanzo kimoja kilicho karibu na Harry kiliuambia mtandao huo. Kiliongeza kuwa Harry aliweka wazi kuwa hana mpango wa kutahiriwa. ...

IDD AMINI APIGWA CHINI MEDALI ZA HESHIMA KWA MARAIS WALIOWAHI KUIONGOZA UGANDA

Idd Amin Dada. Mwenyekiti wa kamati ya Taifa ya Tuzo na Medali nchini Uganda Jenerali Elly Tumwine ameweka wazi kuwa katika tuzo za heshima zilizotolewa kwa marais waliowahi kuingoza nchi hiyo pamoja na watu wengine ambao mchango wao unatambulika..  Aliyewahi kuwa rais nchini humo Hayati Field Marshal Idi Amin Dada hakupata heshima kwa sababu aliacha urithi wa mfumo mbaya wakati wa uongozi wake. Marais wote wametunukiwa Medali za Miaka 50 ya Uhuru wa Uganda wakati wa maadhimisho ya sherehe za chama cha NRM kutimiza miaka 27 yaliyofanyika wilaya Kasese, ambapo rais Yoweri Museveni alipokea medali ya, sambamba...

BALOZI SEIF AWAJULIA HALI MAJERUHI WA JAHAZI LILILOZAMA ZANZIBAR

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akimfariji Abiria Juma Ali Jaku wa Jahazi ya Sun Rise iliyopata ajali na kuzama  kati ya Tanga na Mkokotoni ikiwa imebeba Abiria 32 kati ya hao 21 wameokolewa na saba hadi sasa hawajapatikana. Kushoto ya Balozi Seif ni Mkewe Mama Asha Suleiman Iddi na Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mh. Pemba Juma Khamis. Nahodha wa Jahazi ya Sun Rise iliyozama kati ya Tanga na Mkokotoni Bwana Abdulla Saleh akimuelezea Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi mkasa uliowapata wa kuzama baada ya chombo chao kupatwa na dhoruba kal...

WAFANYAKAZI WA SERIKALI GAMBIA SASA KUFANYA KAZI KWA SIKU 4 TU KWA WIKI KWA MSHAHARA ULE ULE

Serikali ya Gambia imetambulisha mfumo mpya wa siku za kufanya kazi kwa wafanyakazi wa serikali ambapo sasa watafanyakazi kwa siku nne tu, huku siku ya Ijumaa nayo ikiwa siku ya mapumziko. Rais wa nchi hiyo Yahya Jammeh (pichani) amesema wananchi wa Gambia ambao wengi wao ni waislamu sasa watapata muda zaidi kusali, kushiriki shughuli za kijamii na kulima mashamba yao. Kwa mujibu wa taarifa ni kuwa sasa wananchi wa Gambia wanapaswa kuingia mashambani kupanda mazao ya chakula na kutumia chakula hicho ili taifa hilo liwe tajiri. Rais huyo amesema mishahara haitapunguzwa kwa sababu kwa siku hizo nne watu watafanyakazi zaidi...

MTANDAO WA KENYA WADAI KWAMBA ALLY KIBA ANAMIPANGOYA KUJIUNGA NA U FREEMASON ( ILLUMINATI)

Mtandao Kenya Daily Post umemtaja Ali Kiba kuwa miongoni mwa majina ya mastaa barani Afrika wanaohisiwa kujiunga na jamii ya siri ya Illuminati. Umesema majina hayo yamekuwa yakizungumzwa zaidi kwenye mitandao ya kijamii.  Wasanii wengine iliyowataja ni pamoja na Wizkid, Camp Mulla, P-Square(wanaodaiwa kumtoa kafara mama yao), sold their souls to the devil for fame), Tb Joshua, Cabo Snoop, Asamoah Gyan, Jozi, D’banj (Godfather of illuminati in Africa), Sarkodie, Ice Prince, Genevive Nnaji, Teargas (South Africa), Chameleone,Octopizzo, Nonini, Nameless na Avril....

NGOMA MPYA YA DIVA AKIWA NA MR. BLUE.."MGONJWA KWA RAHA ZAKO"

Download Hapa <<DOWNLOAD HAPA>> ...
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DODOSO - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger