HAYA TENAAAA....... BINTI HUYU WA KIAFRIKA ANA LA KUSEMA .... SOMA ZAIDI......

...

DUH,,, IRENE UWOYA APOROMOSHA MATUS YA NGUONI,,, KISA,,,SOMA ZAIDI.....

  “...Wale ma-(Tusi linalohusisha kiungo cha mwili) wanao post (Tusi kama la hapo mwanzo) humu...waaandike watakavyo...sio (Tusi- vitendo vibaya kwenye jamii) tuuu yan na vza yakuzunguka dunia nzima....siitaj watu ma-(Tusi kali sana)...kama na kuboa kafe mbele....eti range nimehongwa mtasubiri sanaaaa....sina mdaa huo sinaaa...wakukaa pemben na kumsmanga mtuuuu...wote mnao ni disss ma-(Tusi la kumalizia sentensi)...”   Hayo ni maneno ya mwadada Irene Uwoya aliyoaandika usiku wa leo hii kupitia ukurasa wake wa mtandao mmoja wa kijamii. Tulipoyasoma tuu, tulishtushwa sana kwani si kawaida kwa mwanadada huyu kuandika maneno mzito...

HAYA TENAAA,,, MCHINA AUKATA UUME WAKE BAADA YA KUKATALIWA NA DEMU WAKE......

Mwanaume mmoja wa Jiaxing, China amejikuta akichukua uamuzi mgumu wa kujikata uume wake baada ya nyota yake ya bahati katika mapenzi kushindwa kung’aa katika anga la maisha yake, kiasi cha kumfanya akate tamaa na kuamua kuchukua uamuzi huo.      Baada ya kujikata kiungo hicho muhimu katika mwili wa mwanaume, mchina huyo Yang Hu mwenye miaka 26 aligundua kwamba haikuwa ndoto ni kweli ameukataa uume wake, ndipo alipochukua baiskeli yake na kukimbia hospitali kwa matarajio ya kwenda kuunganishiwa kiungo chake alichokikata mwenyewe.    Sipati picha aliwezaje kunyonga ‘pedal’ za baiskeli yake mpaka...

DAH,,,,,HABARI KUHUSU WALEMAVU WALIOPELEKWA MOMBASA NA MWANAMKE MMOJA KUFANAYA BIASHARA YA OMBAOMBA,,,,,SOMA ZAIDI

Citizen TV Kenya wanaripoti kwamba huko Mombasa wamekamatwa watu 26 wenye ulemavu ambao walichukuliwa kutoka Tanzania na Mwanamke Mtanzania ili kwenda kufanya biashara ya kuomba pesa na baadae jioni Mwanamke huyo anapitia mahesabu huku akiwa amewaweka walemavu hawa kuishi kwenye nyumba moja huko Mwembe tayari.   Mwanamke huyu nadaiwa kuwa na mtindo wa kuagiza Walemavu kuchukuliwa Tanzania na kuingizwa Kenya kupitia Taveta na Lungalunga ambapo anawatumia kibiashara yeye na washirika wake ambapo mpaka sasa washukiwa saba wametiwa mbaroni kutokana na hii ishu. Taarifa inasema ombaomba hawa ambao wanatoka Shinyanga,...

MAJANGA..... KILA MSICHANA NINAEJARIBU KUMTONGOZA,,,,,,ANANIOMBA HELA,,,,JAMANI NISAIDIENI...HIKI NI NINI?????????

Mimi ni Kijana wa miaka 25 ninafanya kazi bank moja hapa Mjini ..nimefikia umri wa kutafuta mchumba wa kuoa ila hawa mabinti sijui wakoje kila ninaye mtongoza haipiti siku ananiomba hela kwa visingizio mbali mbali na mimi demu akishaniomba hela design hii hapo hapo naona sio namuona kimeo ndio wale wale ....Kwani Mapenzi siku hizi lazima usambaze Hela kwanza ndio upendwe ama? Naomba ushau...

INATIA HIZUNI.. MTU MMOJA AFARIKI MAHAKAMANI AKISUBIRI KUMTOLEA DHAMANA MWANAE

MTU mmoja aliyefahamika kwa jina la Tiger Mwaigomole (70) Mkazi wa kata ya Masukulu wilayani Rungwe amefariki dunia ghafla akiwa katika chumba cha Mahakama ya Wilaya ya Rungwe akifuatilia mwenendo wa kesi inayomkabili mtoto wake wakati Mahakama ikiendelea.Tukio hilo la aina yake lilitokea hivi karibuni majira ya saa 9 alasiri ndani ya Mahakama hiyo ambapo Marehemu alifika mahakamani hapo akiwa na mwanaye aliyejulikana kwa jina la Lusajo Tiger (40) wakiwa na lengo la kumwekea dhamana ndugu yao Gwakisa Tiger ambaye alifikishwa mahakamani hapo akituhumiwa kwa kosa la kupigana na kujeruhi katika ugomvi uliotokea kijijini kwao.Kwa mujibu...

INATIA UCHUNGU....WANANDOA HAWA WAKOSA MSIMAMIZI KATIKA NDOA YAO.....KISA.... SOMA ZAIDI,,,,,

Irene Malecela na mume wake, Sixmond Mdeka ‘Ras Six’ wakikata keki.   - WALIKOSA WASIMAMIZI WA NDOA - MKE HAWEZI KWENDA CHOONI MWENYEWE Irene Malecela na Sixmond Mdeka ‘Ras Six’ katika pozi.   WANAMUZIKI  wa kizazi kipya ambao ni wanandoa, Irene Malecela na mume wake, Sixmond Mdeka ‘Ras Six’, wamelieleza Dodoso  habari ya kusikitisha Wanamuziki hao ambao kwa sasa ni wazazi wa mtoto mmoja anayeitwa Jason,  wamelieleza paparazi kuwa ulemavu walionao uliwafanya wakose wasimamizi kwenye ndoa yao. Wawili hao mara baada ya kukosa wasimamizi kwa kila waliyekuwa wanakwenda kumwambia kuhusu suala...

Video ya mganga aliyekamatwa na kiganja cha binadamu kikivuja damu huko Mwanza

  Watu watatu wakiwemo waganga wawili wa jadi wamekamatwa na polisi katika eneo la Igombe Tx, jijini Mwanza wakiwa na kiganja cha mkono wa kulia unaoaminika kuwa wa binadamu. Kaimu kamanda wa polisi mkoa wa Mwanza, kamishna msaidizi wa polisi Joseph Konyo amesema tukio hilo limetokea eneo la kati ya ziwani na nyuma ya uwanja wa ndege wa Mwanza baada ya raia wema kuwapa taarifa za siri. ...

Mtoto wa miaka 8 alazimishwa kuwa housegeli....Mwajiri wake amchoma kisu

UKATILI! Katika hali ya kusikitisha, mtoto mwenye umri wa miaka 8 aliyejitambulisha kwa jina la Loveness na mwenzake aitwaye Anna, wanadaiwa kulazimishwa kufanya kazi za ndani huku wakipata vipigo vikali kutoka kwa waajiri wao.   Loveness alikuwa akifanyishwa kazi Ubungo-Maziwa na Anna alikuwa Kimara jijini Dar. Watoto hao wameeleza kazi nzito wanazofanyishwa katika mazingira magumu wakiwa na umri mdogo, wanaohitaji kwenda shule. “Mama (mwajiri wake) alikuwa akinipiga na wakati mwingine kunichanja na kisu,” alisema Loveness. Majirani ambao hawakupendezwa na matukio hayo, walitutonya  ili kufuatilia suala hilo. Jirani mmoja...

picha za mwili wa marehemu baba wema sepetu alipoagwa jijini dar, es salaam

BABA mzazi wa staa wa sinema za Kibongo ambaye pia ni Miss Tanzania 2006/2007 Wema Sepetu, Balozi Abraham Isaac Sepetu ameagwa jana  jioni  nyumbani kwake Sinza - Mori jijini Dar es Salaam.   Tukio hilo lilihudhuria na viongozi mbalimbali wa kiserikali akiwemo Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Warioba, Getrude Mongela pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Benard Membe na wengine wengi waliofika kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu aliyefariki dunia Jumapili ya wiki iliyopita.   Waziri Membe kwa niaba ya serikali ametoa salamu za rambirambi na kuchangia kiasi cha shilingi...

HAYA TENA...... UCHOVU KITANDANI WAMFANYA MSANII HUYU WA KIKE WA BONGO MOVIE KUWACHUKIA WANAUME WA KIBONGO

Msanii  wa kike wa filamu bongo  maarufu kwa jina  la Husna Chobis ‘Avana’ amedai kuwa yeye hataki kuwa  na mwanaume wa kibongo kwa sababu wengi  wao ni waongo  na  hawayajui  mapenzi...   Akiongea  na  mwandishi  wetu, mrembo  huyo  alidai  kuwa  umaarufu  wake  humpa  wakati  mgumu  sana  wa  kumtambua  mwanaume  mkweli  maana  wengi  humtamani  kimapenzi  kutokana  na  jina  lake ( ustaa  wake )   “Sitaki kuzalishwa   wala  kuwa  na ...

MTOTO WA DARASA LA SITA ACHAPWA NA MWALIMU WAKE HADI KUPOOZA MIGUU.... KISA ALIKUNYWA MAJI YA SHULE BILA RUHUSA...

MWANAFUNZI wa darasa la sita, Ismail Godfrey (13) anayesoma katika Shule ya Msingi Maendeleo  Sinuka iliyopo mkoani Kigoma amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kudai  kutandikwa viboko  na Mwalimu Muige Joseph na kupooza miguu.  Mtoto huyo ambaye kwa sasa anapata matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar baada ya kukosa matibabu ya kina mkoani Kigoma alipokutana na mwandishi wetu alikuwa na haya ya kusema:   “Awali sikuwa na matatizo yoyote ya kiafya hususan katika viungo vya mwili, isipokuwa haya yalinipata baada ya kuchapwa fimbo na mwalimu wangu ndipo nikapooza ghafla. Miguu...

AJABU......KIGANJA CHA MKONO WA BINADAMU CHAKUTWA KWA MGANGA AKIMUUZIA MTEJA WAKE KWA KIASI CHA MILIONI 100 JIJINI MWANZA

Mtu mmoja jijini Mwanza anadaiwa kukamatwa na kiganja cha mtu akiwa anajiandaa kumuuzia mteja kwa sh million 100. Washukiwa walikamatwa  jana  karibia na uwanja wa ndege wa Mwanza  wakifanya  biashara  hiyo  haramu....    Baada  ya  upekuzi  wa  kina, mteja  alikuwa  ana  milioni  100  na mganga alikutwa  na   kiganja cha  binadamu  ambacho kilikuwa  kibichi kikitoa damu. Kiganja  hicho  kilikuwa  kimevishwa  tunguri  na nywele za binadamu...

MAMBO YA LADY GAGA JUKWAANI LAIV BILA NGUO.....AKITUMBUIZA

                  Huyu  ni  msanii Lady Gaga  aliyeamua  kutoa  burudani   akiwa  uchi  wa  mnyama  katika show ya G-A-Y huko London, Uingereza Ijumaa iliyopita. Gaga (27) alipanda jukwaani akiwa amevalia vazi linalomfunika hadi miguu lakini wakati akiendelea kuperform ghafla alianza kusaula taratibu kutokea juu hatimaye kulishusha vazi lote na kubaki uchi...

DAH... NGUMI ZAPIGWA KATI YA WADADA BARABARANI ETI KISA BWANA WANAEMGOMBANIA

Wadada wawili Warembo wa Mitaa ya kawe waliamua kuzichapa kavu kavu bila maglovsi mbele za watu kwa eti mmoja akimtuhumu mwenzie kuwa anatoka na Boyfriend wake...Inasemekana hawa madada ni marafiki sana lakini leo yamewashinda baada ya kuchangia bwana mmoja .....

UKATILI.. PANGA NA RUNGU VYATUMIWA NA BABA MZAZI WA MTOTO KUMWADHIBU KWA KOSA LA KUTOKWENDA SHULE HUKO MKOANI MBEYA

           Victoria Mukama (10) baada ya matibabu          Kabla ya matibabu          Mwalimu wa zamu wa Shule ya Msingi Airport, Damali Obadia alisema tukio hilo la ajabu lilitokea  majira ya saa mbili na nusu asubuhi ambapo akiwa ofisini alimuona mzazi huyo akiwa na mtoto huku akiendelea kumpiga wakielekea ofisini.        Mama mzazi wa binti huyo Teodora Paulo alisema yeye na mume wake hawakuwepo nyumbani ambapo baada ya kurejea kutoka Msibani majira ya asubuhi walimkuta...

AJABU....MWIZI WA KUKU AVULIWA NGUO BAADA YA KUKAMATWA......AFUNGIWA NDANI YA TENGA NA WANANCHI TAYARI KWA KUCHOMWA MOTO

Huyu  ni  mkenya   aliyekuwa  ameiba  kuku.Wananchi  walipomnasa walimpa  kichapo  kikali  na  kisha  kumfungia  ndani  ya  tenga  la  kuku  kwa  ajili  ya  kumchoma  moto…. Wangali  katika  maandalizi  ya  kutafuta  petrol, polisi  waliwasili  eneo  la  tukio  na  kumuokoa  kwa  kumpeleka  kitu...

LESENI ZA MAFUTA NA GESI ZAPINGWA NA MNYIKA

WAZIRI Kivuli wa Nishati na Madini, John Mnyika, amemtaka Rais Jakaya Kikwete kusitisha mzunguko wa nne wa utoaji wa leseni za utafutaji wa gesi asili na mafuta hadi sera na sheria ya gesi asili zikamilike, na marekebisho ya sera ya nishati na sheria za mafuta yafanyike.  Mnyika ambaye pia ni mbunge wa Ubungo (CHADEMA), alisema hatua hiyo ni kurejea maoni na mapendekezo aliyoyawasilisha bungeni kwa niaba ya Kambi Rasmi ya Upinzani Mei 22 mwaka huu.   Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari jana, alisema rais anapaswa kuchukua hatua hiyo kwa kuzingatia kwamba Mei 25 mwaka huu, badala ya kushughulikia mapendekezo...

MKE WA MTU ANASWA AKIJIUZA HUKO BUGURUNI

  Mchumba huyo wa mtu aliyejitambulisha kwa jina moja la Diva alitoa kali ya mwaka baada ya kuzimia ghafla huku akitokwa na mapovu kinywani baada ya kunaswa  akijiuza.    Tukio hilo lilitokea wiki iliyopita maeneo ya Kimboka, Buguruni, Dar ambapo msichana huyo pamoja na ‘madadapoa’ wenzake walikuwa wakifanya biashara hiyo haramu bila kificho.   Mara baada ya kuona wenzake wakiwa mikononi mwa nguvu za dola katika kamatakamata ya polisi, mrembo huyo ambaye baadaye alijitambulisha kama mchumba wa mtu, alianguka ghafla na kuzimia kiasi cha kuzua hofu miongoni mwa machangu wenzake walioangua kilio wakidhani mwenzao...
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DODOSO - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger