ETIIII,,,, KUMBE WANAWAKE KUTEMBEA NUSU UCHI WANA LAO JAMBO????.....

  Kuna wakati wanaume hudhani kwamba, wanawake wanaovaa nusu uchi huwa wanafanya hivyo kwa sababu ya kutafuta soko kwa wanaume. Inawezekana kukawa na wale ambao wana sababu hizo, lakini wapo wale ambao wanalipa fidia kutokana na kuamini kwao kwamba, sura zao zimewaangusha, hivyo miguu yao mizuri inabidi kuziba pengo au udhaifu huo. Wakati mwingine hata wanawake wanaodhani au kudhaniwa kuwa ni wazuri, wamekuwa wakivaa nguo fupi zinazoonyesha maungo yao. Hawa nao ni lazima wanalipa fidia ya kasoro fulani waliyo nayo. Inawezekana wameshindwa kulinda ndoa zao, au inawezekana hawajaolewa na sasa wanataka kuonyesha kwamba, pamoja...

WANAWAKE WANAVYOIVAA MKENGE WANAPOAMUA KUOLEWA........./////

  Ngoja leo niyadadavue makosa yanayofanywa na wanawake wengi pale wanapoamua ni nani wa kuoana naye: 1. Kosa la kwanza, unaolewa na mtu ambaye unajua kabisa ni dhaifu na mkorofi, ukitarajia kwamba ataondoa kasoro zake akiwa ndani ya ndoa. Hili ni kosa kubwa. Kama huna furaha sasa na mtu kabla hujaoana naye, usikubali kuingia huo mkenge. Huwezi kutegemea mtu kuadilika aiwa ndani ya ndoa. 2. Kosa la pili, unaolewa na mtu asiye sahihi kwa sababu ya msisimko wa mwili kimapenzi lakini si kwa sababu ya tabia zake. Kuwa mwangalifu na neno “Nakupenda” neno hili mara nyingi maana yake ni “Nina uchu nawe.” Ndiyo amevutiwa nawekimaumbile,...

NI KWELI......... MZAHA NA KUCHEKA KWA WANANDOA HUDUMISHA MAPENZI?........

  Kucheka mara kwa mara kutakuondolea msongo wa mawazo na mifadhaiko; pia kutakufanya kulala usingizi mnono na kufurahia maisha yako. Uchekeshaji ni kitu muhimu sana na ndio maana viongozi wakuu, waalimu na washauri nasaha wengi ni wachekeshaji katika mazungumzo yao. Mara nyingi ninapozungumzia au kujadili kuhusu kucheka, huwa najiuliza, hivi ni ndoa ngapi ambapo wanandoa wake hucheka na vicheko hivyo hutoka kwa wenzao? Nalijua jibu, lakini silipendi, ingawa siwezi kuubadili ukweli. Kama kuna ndoa kumi, basi ni ndoa mbili tu ambapo wanandoa wake hupeana afya kupitia kuchekeshana. Kwenye ndoa nyingi, utakuta mke au mume...

msiba..... mwanaume afariki kwa kuchangiwa na kupigwa na wanawake wawili

Mwanaume mmoja amepatwa na umauti baada ya kuchangiwa na kupigwa na wanawake wawili huko  Madhya Pradesh. mwanamke huyo ambaye alishirikiana na mkwe wake aliyeolewa na mwanawe kumpiga mumewe tena nnje ya mahakama, alifanikiwa kumuua,kisa ni ugomviwa ardhi, wameshikiliwa na polisi kwa uchunguzi zaid...

SWALI.....JAMANI HUYU MWANAUME ANAYEPENDA KUPIGA WANAWAKE ANGEKUWA TANZANIA ANGEKUWA KABILA GANI?

...

JE,,,,KWANINI WANAWAKE WENGI KWENYE NDOA HUPIGWA NA WAUME ZAO NA WENGINE HUPIGWA HADI KUFA..../////

  Tunajua wote kwamba, hutokea wanawake wakateswa sana kwenye uhusiano wao wa kindoa au kimapenzi na bado wakaendelea kukaa tu kwenye uhusiano huo. Inafikia hadi mtu anakufa huku akiona kabisa. Watu wengine huiita hali hii kuwa ni ujinga na wengine huita kulogwa au huelezea hali hii kwa njia ambayo haiwapi haki wanawake hao. Zipo sababu nyingi ambazo zinawafanya wanawake kuendelea kukaa kwenye ndoa ngumu, bila hata kufikiria kuondoka. Sababu nyingine zinaweza kuonekana kama kituko, lakini ndizo zinazowafanya wafie kwenye ndoa. Kuna ile sababu kwamba, hawajui ukubwa wa kiwango cha mateso. Hii hutokana na kwamba, baada ya...

maajabu....../////// picha za kwanza za mtu aliyeliwa sura yake akiwa hai.....

Madactari nchini Marekani wametoa picha za mwanzo za mwanaume ambaye sura yake pamoja na pua yake ililiwa na mtu aliyekuwa amepagawa na madawa mapya ya kulevya yanayomfanya mtu awe na hasira kali na mwenye kutaka kujiua.  Baada ya mei 26 mwaka huu, Ronald Poppo mwenye umri wa miaka 65, Mzee aliyekuwa hana makazi maalumu akilala mitaani, kushambuliwa na kuliwa sura yake alipokuwa amelala pembeni ya stesheni, madaktari wa hospitali ya Miami nchini Marekani wametoa picha na video za Poppo wakisema kuwa anaendelea vizuri na matibabu.Katika tukio hilo, Rudy Eugene, aliyekuwa na umri wa miaka 31, akiwa uchi wa mnyama huku ikisemekana...

UKATILI JAMANIII......Mume amuua mkewe na mwili wa marehemu kukutwa katika stoo ya nyumba...

  Habari zinadai kuwa siku moja Hamida akiwa kwao, Tabata, mume alitishia kujiua na kumfanya marehemu kwenda kutoa taarifa Kituo cha Polisi Tabata na kufunguliwa kumbukumbu ya jalada namba RB TBT/ RB/ 1583/ 2013 TAARIFA.Pia Hamida alikwenda kutoa taarifa kwenye Baraza Kuu la Kiislamu Tanzania (BAKWATA) ili aweze kupewa talaka yake.    Hamida Issa siku alipohitimu kidato cha sita akiwa na mumewe Yahya pembeni “Mumewe aliandikiwa barua ya wito na Bakwata lakini hakwenda.   “Siku moja mwanaume huyo alimpigia simu mkewe na kumwambia anataka kuhamia Sinza kwa hiyo aende nyumbani kwao vingine wagawane. “Mama...

Sababu sita kuu na za msingi zinazojibu swali la kwanini siku hizi wanaume wengi hawapendi kuoa?,,,,,,

  Kumekuwa na maswali yasiyo na majibu miongoni mwa jamii kwamba imekuaje vijana wa kiume wamekuwa ni waongo sana hasa linapokuja swala la kuoa? Kwa kadiri siku zinavyozidi kwenda ndivyo ambavyo idadi ya wanaume wanaoogopa kuoa inazidi kuongezeka. Utakuta wapenzi wanaambiana kwamba wanapendana na kuahidiana kuwa wataoana, lakini kitakachotokea baada ya hapo ni mwanaume kuanza kupiga chenga kwa visingizio lukuki. Kwa nini hali hiyo hutokea?Ukweli ni kwamba hakuna jibu la moja kwa moja juu ya tatizo hilo, lakini yapo mambo ambayo yanaweza kutupa angalau tafakuri. Nitajaribu kudadavua baadhi ya sababu zinazowafanya wanaume siku...

EWE MWANAMKE UJUE UKWELI LEO....... SIO KILA DALILI YA MWANAMKE KUPENDA NI YA KWELI

  Siyo kila dalili ya mwanaume kupenda ni ya kweli…! Kuna wakati ambapo, wanawake wanajikuta wakikabiliwa na swali la, je, mwanaume huyu ananipenda kweli? Hii hutokea pale anapokutana na mwanaume ambaye, huenda amevutiwa naye. Pengine mwanaume naye anaweza kuonesha kuvutiwa na mwanamke huyo. Kwa hiyo, mwanamke hujiuliza kama akubali ombi la mwanaume huyo na kukubali kuzungumza naye au kuanzisha naye uhusiano, kama mwanaume atakuwa amezungumza naye kuhusu jambo hilo. ni kweli kwamba, kuna ugumu kwa mwanamke kujua hasa ni kwa namna gani anaweza kujua kwamba, huyo mwanaume amempenda kweli au hapana. Kuna vitu vingi ambavyo...

TANGAZO LA KIFO BUNGENI DODOMA

Marehemu Anselm L. Mrema enzi za uhai wake. Katibu wa Bunge, anasikitika kuwataarifu wananchi kuhusu kifo cha mtumishi wa Ofisi ya Bunge katika idara ya shughuli za Bunge, Mkurugenzi Msaidizi Ndg. Anselm L. Mrema kilichotokea jana usiku tarehe 10.11.2013 katika Hospitali ya Mkoa, Dodoma. Ofisi inaendelea na taratibu za mazishi kwa kushirikiana na familia ya marehemu, tutaendelea kuwapa taarifa zaidi kutokana na msiba huo. Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe. Amen!  Chanzo: Michuz...

Msaniii wa taarabu Nyawana Fundikira afariki dunia.

Msanii wa taarab nchini anayejulikana kwa jina la Nyawana Fundikira aliyetamba na wimbo wa 'Nipo Kamili Nimejipanga', amefariki dunia mchana huu kwa ugonjwa wa malaria. Nyawana amefariki akiwa kwake maeneo ya Mwananyamala B na mwili wake sasa umepelekwa kuhifadhiwa Hospitali ya Mwananyamala, Da...

daaah..... MAUTI IPO NJIANI INAMVIZIA MTU HUYU..... KWA MUJIBU WA DACTARI

Doctor Amesema kijana Huyu Atafariki Baada Ya  muda mfupi Kwa Sababu damu imevujia ndani ya  Ubongo Wake Na Amesema Hawana Uwakika Kama  Wataweza Kumnusuru. Lakini Mungu Pekee ndio anauwezo Wa Kuongea  Juu Ya Huyu kijana Na Anaweza Kumponyesha,  Eeeh Mungu Twaomba Umponyeshe Huyu kijana  Na   Uweze Kushinda Maneno Ya Doctor.    Kama Unaamini Mungu Anaweza Kumponyesha    Huyu kijana Comment "Amen" Kwa Huyu kijana  james Na "Share" Kwa Maombi Zaidi ya watanzania  wenz...

HAYA SASAAA,,, VIASHIRIA VINAVYOMUONYESHA MPENZI MPYA KUWA WEWE NI KIN'GAN'GANIZA KWAKE....

Mwanamke: Dalili zitakazomfanya mpenzi mpya akuone wewe ni king’ang’anizi…! Hizi ni miongoni mwa sababu ambazo wanaume wengi huchomoa mapema kwa wapenzi wao wapya kabla uhusiano haujashika kasi. Kuna wakati wanawake hukosea na kuvuka mipaka mwanzoni tu mwa uhusiano. Anamganda mwanaume haraka sana au anaonesha dalili zote za kujipendekeza kupita kiasi. Lakini jambo ambalo wanawake wengi hawalijui ni kwamba, wanaume wako makini sana kuwakwepa wanawake ving’ang’anizi…….. Nitadadavua baadhi ya vijitabia vya wanawake vinavyowafanya wanaume wawaone kama ni ving’ang’anizi….. 1. Unataka kuwa naye muda mwingi kuliko kawaida… Ni ...
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DODOSO - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger