Home » , , » AUNT LULU AWASIHI WANAWAKE WATUMIE DAWA ZA KICHINA KUKUZA MAKALIO YAO

AUNT LULU AWASIHI WANAWAKE WATUMIE DAWA ZA KICHINA KUKUZA MAKALIO YAO

tangazo

MTANGAZAJI maarufu Bongo, Lulu Mathias Semagongo ‘Aunt Lulu’ amewashauri mabinti wanaotaka kukuza makalio yao, watumie dawa za Mchina licha ya kuwa yeye hazitaki hata kuzisikia.

Akizungumza na dodoso, Aunt Lulu alisema licha ya kuwa yeye hajawahi kutumia dawa hizo lakini kwa wale wanaotaka kuwa kama yeye basi watumie kwa raha zao.


“Tumieni nyie mnaotaka kukuza makalio, mimi sijawahi kutumia na sitawahi kwani yangu ni ya asili,” alisema Aunt Lulu.


Tupe Maoni yako!

KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DODOSO - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger