Home » , , , » AIBU: DIAMOND AAMUA KUYAANIKA MAKALIO YAKE

AIBU: DIAMOND AAMUA KUYAANIKA MAKALIO YAKE

tangazo

Kwa wale walioondoka mapema kwenye show ya Fiesta usiku wa kuamkia Jumapili baada tu ya Rick Ross kumaliza performance yake, walikosa kujionea kituko kilichofanywa na Diamond Platnumz. Ama wengine wamekuja tu kuona picha zilizosambaa kwenye internet.

 Akiwa stage na madancer wake wakati show imepamba moto, Diamond aliamua kuvua na kuonesha boxer yake nyeupe kama ishara kuwa yeye na madansa wake ni ‘wasafi’ kiasi cha kutoogopa kuionesha hadharani.

Bahati mbaya watanzania wamemuelewa tofauti. Kitendo hicho kimewakera wengi. 

Kwa mujibu wa maoni tuliyoyapata kupitia ukurasa wetu wa Facebook baada ya jana kuweka picha hiyo, wengi wameitafsiri picha hiyo kama ishara ya ‘ushoga’ na huku wengine wakienda mbali zaidi na kuibua tena mada ya ufreemason. Haya ni baadhi ya maoni.

“Wanaonyesha kuwa na mapepo hao maana walianza na kuvua magoti hadi mashati wakabakiza suruali , sasa wamebakiza boxer unadhani wakishatoa boxer watabakiza nini, huo ni ushirikina na muda si mrefu watahumbuka hao maana naona ule mwisho wao umeshafika; hizo ni akili ama matope…wana akili ama matahairaaaaa1.”

“Ndio maana wazee wetu hawaupend kuusikiliza huu muzk munaoita bongo flava. Uchafu kama huu mnafanya mbele za watu au umaarufu unatafutwa kwa kila njia,basi huyo tanzanite awe john elton wa bongo.”

“Lbd alielewa tofauti,alpockia MUONEKANO MPYA BURUDAN ILEILE ndani ya fiesta!!nd mana akafanya hcho k2ko lkn pia mayb woz search and luking fo huzband! nadhan co rdhk nyota uyu.teh teh teh shame upon hiz unimpressive kboxa.”

Tupe Maoni yako!

KAMA UMEGUSWA NA HUDUMA ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
KUMBUKA KU LIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK
 
Support : mpekuzi | John mpekuzi | Wataalam
Copyright © 2009. DODOSO - All Rights Reserved
Template designed by mpekuzi
Proudly powered by Blogger